2 Kings 19:32
32
“Kwa hiyo hili ndilo asemalo
Bwana
kuhusu mfalme wa Ashuru:
“Hataingia katika mji huu
wala hatapiga mshale hapa.
Hatakuja mbele yake akiwa na ngao,
wala kupanga majeshi kuuzingira.
Copyright information for
SwhNEN